John na Mariam

Tunayo furaha na heshima kukukaribisha kuwezesha na kushiriki kwenye sherehe ya ndoa na harusi ya kijana wetu

John Ndekeja
anayefunga ndoa na
Mariam Rodrick
Harusi itafanyika baada ya:
0 Siku
0 Saa
0 Dak
0 Sek
CHANGIA SASA

Historia Yetu kwa Ufupi

John na Mariam

John na Mariam wanatoka katika familia za Kikristo za kichungaji—familia ambazo zimekuwa karibu kwa muda mrefu na zimejengwa juu ya imani na kumtumikia Mungu.

Wakiwa vijana wenye maadili yanayofanana, walianza kwa kushirikiana ndoto na maono ya maisha yao, huku wakitumika katika makanisa yao mahalia na jamii. Kadri muda ulivyopita, urafiki wao wa kawaida ukageuka kuwa wa karibu zaidi, uliojaa heshima, uaminifu, na upendo wa kweli.

Hatua kwa hatua waliwashirikisha familia zao, na kwa pamoja wakaona wazi kuwa safari yao inaelekea kwenye kusudi moja—kujenga familia ya Kikristo yenye msingi imara. Wote wakiwa wasomi wa vyuo vikuu, wameamua kuunganisha maisha yao katika ndoa takatifu.

Kwa moyo wa unyenyekevu, wanaomba maombi yako na msaada wako wa hali na mali ili kufanikisha hatua hii muhimu ya maisha yao. 💍

Support yako

Ukiwa kama sehemu ya familia yetu, tunaomba ufadhili wako kupitia:
Orodha ya Wachangiaji
M-Pesa
+255 765 936 454 (Jina: Daudi Magumba Ndekeja)
CRDB Bank
0152482245301 (Jina: Daudi Magumba Ndekeja)

Tunashukuru sana kwa maombi na mchango wako

CHANGIA SASA

Picha za Kumbukumbu

Maelezo ya Harusi

Ndoa: Juni 7, 2026 • Busanda SDA Church
Sherehe: Juni 8, 2026 • Beroya SDA Church - Katoro, Geita
CHANGIA SASA

Asante

Tunashukuru kwa upendo, msaada na baraka zako. Kila mchango na dua yako ni muhimu sana kwetu. Mungu akubariki! Mawasiliano 0743693885

Mhubiri 4:12

"Na mtu mmoja akiweza kushindana na mmoja, wawili watampinga; na kamba ya watu watatu haikatiki upesi."